SciDev.Net

Pages

Tuesday, January 8, 2013

Wajumbe wa Bodi Mpua ya UTPC Pichani. Ni picha iliyopigwa katika ghafla ya Uzinduzi wa Bodi hiyo mwishoni mwaka uliopita huko Mwanza.

Wadau wakifuatilia kwa makini  ghafla ya uzinduzi wa Bodi ya UTPC katika shughuli iliyofanyika huko katika afisi za UTPC Balewa road- Mwanza. Picha na Ssengo

Ali Haji Hamad, Mjembe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Union of Tanzania  Press Clubs(UTPC)  akisalimiana na Mkurugenzi mtendaji wa umoja huo Abubakar Karsan. ilikuwa ni katika ghafla ya kuzindua bodi mpya ya UTPC na kuaga ya zamani. picha ni kwa hisani ya Sengo, Mwanza.

No comments: